Ezekieli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:4 Ibada Safi, kur. 166, 239 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 20
4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+