2 Wafalme 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hata watu wa kabila la Yuda hawakushika amri za Yehova Mungu wao;+ walifuata pia desturi zilizofuatwa na Waisraeli.+ Ezekieli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule mkubwa aliitwa Ohola,* na dada yake Oholiba.* Wakawa wangu nao wakazaa wana na mabinti. Kuhusu majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu. Ezekieli 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo, akawa na uchu mbaya zaidi, na ukahaba wake ulikuwa mbaya kuliko wa dada yake.+
19 Hata watu wa kabila la Yuda hawakushika amri za Yehova Mungu wao;+ walifuata pia desturi zilizofuatwa na Waisraeli.+
4 Yule mkubwa aliitwa Ohola,* na dada yake Oholiba.* Wakawa wangu nao wakazaa wana na mabinti. Kuhusu majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.
11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo, akawa na uchu mbaya zaidi, na ukahaba wake ulikuwa mbaya kuliko wa dada yake.+