Ezekieli 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo,+ basi akatimiza tamaa yake ya kimwili kwa uharibifu mkubwa kuliko yeye, na ukahaba wake mwingi kuliko uasherati wa dada yake.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:11 Mnara wa Mlinzi,4/1/1989, uku. 30
11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo,+ basi akatimiza tamaa yake ya kimwili kwa uharibifu mkubwa kuliko yeye, na ukahaba wake mwingi kuliko uasherati wa dada yake.+