Yeremia 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana nchi imejaa+ wazinzi.+ Kwa maana nchi inaomboleza+ kwa sababu ya laana, viwanja vya malisho vya nyika vimekauka;+ na mwenendo wao ni mbaya, na nguvu zao si kwa njia ya haki.
10 Kwa maana nchi imejaa+ wazinzi.+ Kwa maana nchi inaomboleza+ kwa sababu ya laana, viwanja vya malisho vya nyika vimekauka;+ na mwenendo wao ni mbaya, na nguvu zao si kwa njia ya haki.