Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mmoja wa wanawe+ wote aliozaa aliyemwongoza, wala hakuna mmoja wa wanawe wote aliolea aliyemshika mkono wake.+

  • Yeremia 30:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+

  • Maombolezo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uchafu wake umo ndani ya marinda yake.+ Hakukumbuka wakati wake ujao,+

      Naye huteremka chini kwa njia ya ajabu. Hana mfariji.+

      Ee Yehova, uone mateso yangu,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki