Isaya 51:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mmoja wa wanawe+ wote aliozaa aliyemwongoza, wala hakuna mmoja wa wanawe wote aliolea aliyemshika mkono wake.+ Yeremia 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+ Maombolezo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uchafu wake umo ndani ya marinda yake.+ Hakukumbuka wakati wake ujao,+Naye huteremka chini kwa njia ya ajabu. Hana mfariji.+Ee Yehova, uone mateso yangu,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
18 Hakuna mmoja wa wanawe+ wote aliozaa aliyemwongoza, wala hakuna mmoja wa wanawe wote aliolea aliyemshika mkono wake.+
14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+
9 Uchafu wake umo ndani ya marinda yake.+ Hakukumbuka wakati wake ujao,+Naye huteremka chini kwa njia ya ajabu. Hana mfariji.+Ee Yehova, uone mateso yangu,+ kwa maana adui amejivuna sana.+