Yeremia 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Tumesikia habari zake. Mikono yetu imelegea.+ Taabu imetushika, maumivu ya kuzaa kama ya mwanamke anayezaa.+ 1 Wathesalonike 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+
24 Tumesikia habari zake. Mikono yetu imelegea.+ Taabu imetushika, maumivu ya kuzaa kama ya mwanamke anayezaa.+
3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+