Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana nimeisikia sauti kama ya mwanamke mgonjwa, taabu kama ya mwanamke anayezaa mtoto wake wa kwanza,+ sauti ya binti Sayuni ambaye anaendelea kuvuta pumzi kwa nguvu. Anaendelea kuinyoosha mikono yake:+ “Ole wangu, sasa, kwa maana nafsi yangu imechoka kwa sababu ya wauaji!”+

  • Yeremia 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ulizeni, tafadhali, na mwone ikiwa mwanamume anajifungua mtoto. Kwa nini nimemwona kila mwanamume akiweka mikono juu ya viuno vyake kama mwanamke anayejifungua mtoto,+ na nyuso zote zimegeuka rangi?+

  • Yeremia 49:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Damasko amekufa moyo. Amegeuka ili kukimbia, na wasiwasi mtupu umemshika.+ Taabu na uchungu wa kuzaa zimemshika, kama mwanamke anayezaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki