Yeremia 45:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Umesema: “Ole wangu,+ sasa, kwa maana Yehova ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu! Nimechoka kwa sababu ya kuugua kwangu, nami sikupata mahali pa kupumzika.”’+ Ezekieli 23:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Nalo kutaniko litawapiga kwa mawe,+ nao watakatwa kwa panga zao. Watawaua wana wao na binti zao,+ nao wataziteketeza nyumba zao kwa moto.+
3 ‘Umesema: “Ole wangu,+ sasa, kwa maana Yehova ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu! Nimechoka kwa sababu ya kuugua kwangu, nami sikupata mahali pa kupumzika.”’+
47 Nalo kutaniko litawapiga kwa mawe,+ nao watakatwa kwa panga zao. Watawaua wana wao na binti zao,+ nao wataziteketeza nyumba zao kwa moto.+