Yeremia 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+
10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+