Mambo ya Walawi 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe. Ezekieli 16:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nao wataleta kutaniko+ juu yako na kukupiga kwa mawe+ na kukuchinja kwa panga zao.+
2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.