Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na watu wamekuwa na wasiwasi.+ Utungu na uchungu wa kuzaa zimewashika; wana uchungu kama mwanamke anayezaa.+ Wanatazamana kwa mshangao. Nyuso zao ni nyuso zilizowaka.+

  • Yeremia 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana nimeisikia sauti kama ya mwanamke mgonjwa, taabu kama ya mwanamke anayezaa mtoto wake wa kwanza,+ sauti ya binti Sayuni ambaye anaendelea kuvuta pumzi kwa nguvu. Anaendelea kuinyoosha mikono yake:+ “Ole wangu, sasa, kwa maana nafsi yangu imechoka kwa sababu ya wauaji!”+

  • Yeremia 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tumesikia habari zake. Mikono yetu imelegea.+ Taabu imetushika, maumivu ya kuzaa kama ya mwanamke anayezaa.+

  • Mika 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi ni kwa nini unaendelea kupiga kelele?+ Je, hamna mfalme ndani yako, au je, mshauri wako mwenyewe ameangamizwa, hata maumivu kama yale ya mwanamke anayezaa yakakushika?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki