Isaya 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitaitia Misri katika mkono wa bwana mgumu, na mfalme atakayetawala juu yao atakuwa mwenye nguvu,”+ asema Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi. Yeremia 46:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Nami nitawatia mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na mkononi mwa watumishi wake; na baadaye watu watakaa ndani yake kama katika siku za zamani za kale,’+ asema Yehova. Ezekieli 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitafanya matendo ya hukumu katika Misri;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”
4 Nami nitaitia Misri katika mkono wa bwana mgumu, na mfalme atakayetawala juu yao atakuwa mwenye nguvu,”+ asema Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi.
26 “‘Nami nitawatia mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na mkononi mwa watumishi wake; na baadaye watu watakaa ndani yake kama katika siku za zamani za kale,’+ asema Yehova.