2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:
26 “‘Nami nitawatia mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na mkononi mwa watumishi wake; na baadaye watu watakaa ndani yake kama katika siku za zamani za kale,’+ asema Yehova.
19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninampa Nebukadreza mfalme wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atauchukua utajiri wake na kuteka nyara kubwa kutokana nayo+ na kuipora kwa wingi sana; nayo itakuwa malipo kwa ajili ya jeshi lake.’