Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 43:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye ataingia na kuipiga nchi ya Misri.+ Yeyote aliyekusudiwa mapigo yenye kufisha atapigwa kwa mapigo yenye kufisha, na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani ataenda utekwani, na yeyote aliyekusudiwa upanga atapigwa kwa upanga.+

  • Yeremia 44:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninamtia Farao Hofra mfalme wa Misri,+ mkononi mwa adui zake na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yake,+ kama nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, adui yake na yeye anayeitafuta nafsi yake.”’”+

  • Ezekieli 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakuja juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki