30 Yehova anasema hivi: “Ninamtia Farao Hofra, mfalme wa Misri, mikononi mwa maadui wake na wale wanaotaka kumuua,* kama nilivyomtia Mfalme Sedekia wa Yuda mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, aliyekuwa adui yake na ambaye alitaka kumuua.”’”+