Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 43:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Tazama, ninatuma watu na kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu,+ nami nitakiweka kiti chake cha ufalme juu ya mawe haya ambayo nimeyaficha, na hakika yeye atanyoosha hema lake la fahari juu yake.

  • Yeremia 46:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Nami nitawatia mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na mkononi mwa watumishi wake; na baadaye watu watakaa ndani yake kama katika siku za zamani za kale,’+ asema Yehova.

  • Ezekieli 30:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni+ na kuutia upanga wangu mkononi mwake,+ nami nitaivunja mikono ya Farao, naye ataugua kwelikweli mbele yake kama mwenye majeraha ya kufisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki