Ezekieli 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nitaitia nguvu mikono ya* mfalme wa Babiloni+ na kuutia upanga wangu mkononi mwake,+ nami nitaivunja mikono ya Farao, naye atalia kwa sauti na kwa maumivu makali kama mtu anayekufa mbele yake.*
24 Nitaitia nguvu mikono ya* mfalme wa Babiloni+ na kuutia upanga wangu mkononi mwake,+ nami nitaivunja mikono ya Farao, naye atalia kwa sauti na kwa maumivu makali kama mtu anayekufa mbele yake.*