11 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakushambulia.+
12 Nitaufanya umati wako uuawe kwa panga za mashujaa hodari,
Walio wakatili zaidi kati ya mataifa, wote.+
Watashusha chini kiburi cha Misri, na umati wake wote utaangamizwa.+