Ezekieli 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni+ na kuutia upanga wangu mkononi mwake,+ nami nitaivunja mikono ya Farao, naye ataugua kwelikweli mbele yake kama mwenye majeraha ya kufisha.+
24 Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni+ na kuutia upanga wangu mkononi mwake,+ nami nitaivunja mikono ya Farao, naye ataugua kwelikweli mbele yake kama mwenye majeraha ya kufisha.+