Kumbukumbu la Torati 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+Na mkono wangu ushike hukumu,+Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+ Zaburi 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+ Ezekieli 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakuja juu yako.+
41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+Na mkono wangu ushike hukumu,+Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+
13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+
11 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakuja juu yako.+