Danieli 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+ Danieli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wewe, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi+ alimpa baba yako Nebukadneza+ ufalme na ukuu na heshima na utukufu wa enzi.+
21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+
18 Basi wewe, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi+ alimpa baba yako Nebukadneza+ ufalme na ukuu na heshima na utukufu wa enzi.+