Danieli 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Wewe, Ee mfalme, uliye mfalme wa wafalme, wewe ambaye Mungu wa mbinguni amekupa ufalme,+ uwezo, na nguvu na heshima, Danieli 2:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 na amekupa mkononi mwako,+ popote pale ambapo wana wa binadamu hukaa, wanyama wa mwituni na viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, na amekufanya kuwa mtawala juu ya vyote hivyo. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.+
37 Wewe, Ee mfalme, uliye mfalme wa wafalme, wewe ambaye Mungu wa mbinguni amekupa ufalme,+ uwezo, na nguvu na heshima,
38 na amekupa mkononi mwako,+ popote pale ambapo wana wa binadamu hukaa, wanyama wa mwituni na viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, na amekufanya kuwa mtawala juu ya vyote hivyo. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.+