Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+

      Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+

  • Zaburi 75:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+

      Humshusha huyu, na kumwinua yule.+

  • Methali 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa msaada wangu wafalme wenyewe huendelea kutawala, na maofisa wakuu wenyewe huendelea kuagiza juu ya uadilifu.+

  • Yeremia 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+

  • Danieli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jambo hilo ni kulingana na agizo la walinzi,+ na ombi hilo ni kulingana na neno la watakatifu, kusudi watu wanaoishi wajue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu+ na kwamba humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo,+ na humweka juu yake mwanadamu aliye wa hali ya chini zaidi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki