Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 46:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Amoni+ kutoka No+ na juu ya Farao na juu ya Misri na juu ya miungu+ yake na juu ya wafalme+ wake, juu ya Farao na juu ya wale wote wanaomtegemea.’+

  • Ezekieli 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ongea, nawe useme, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama niko juu yako, Ee Farao, mfalme wa Misri,+ yule mnyama mkubwa wa baharini+ anayelala akiwa amejinyoosha katikati ya mifereji yake ya Nile,+ ambaye amesema, ‘Mto wangu wa Nile ni wangu, na mimi—mimi nimeufanya kwa ajili yangu mwenyewe.’+

  • Ezekieli 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaufanya pia umati wa Misri ukome kwa mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki