19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninampa Nebukadreza mfalme wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atauchukua utajiri wake na kuteka nyara kubwa kutokana nayo+ na kuipora kwa wingi sana; nayo itakuwa malipo kwa ajili ya jeshi lake.’