Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

  • Yeremia 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Sedekia mfalme wa Yuda+ na wakuu wake nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa majeshi ya mfalme wa Babiloni+ ambayo yanaondoka kuwaacha ninyi.’+

  • Yeremia 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+

  • Yeremia 52:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo wakamkamata mfalme na kumleta kwa mfalme wa Babiloni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi,+ ili atangaze maamuzi ya hukumu juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki