2 Wafalme 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Farao Neko+ akamtia kifungoni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi, ili kumzuia asitawale katika Yerusalemu, kisha akaitoza+ nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu.+ 2 Wafalme 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake. 2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Yeremia 52:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla.+
33 Na Farao Neko+ akamtia kifungoni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi, ili kumzuia asitawale katika Yerusalemu, kisha akaitoza+ nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu.+
6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.
21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+