Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na Farao Neko+ akamtia kifungoni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi, ili kumzuia asitawale katika Yerusalemu, kisha akaitoza+ nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu.+

  • 2 Wafalme 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.

  • 2 Wafalme 25:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

  • Yeremia 52:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki