2 Wafalme 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake. Yeremia 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+ Yeremia 52:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+ Yeremia 52:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla.+
6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.
5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+
10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+