Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.

  • Yeremia 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+

  • Yeremia 52:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+

  • Maombolezo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

      Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki