2 Wafalme 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake. Yeremia 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+ Yeremia 52:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+ Maombolezo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+
6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.
6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+
10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+
20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+