Yeremia 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nitamtia Mfalme Sedekia wa Yuda na wakuu wake mikononi mwa maadui wao na mikononi mwa wale wanaotaka kuwaua* na mikononi mwa majeshi ya mfalme wa Babiloni,+ ambao wanaondoka na kuacha kuwashambulia.’+
21 Nami nitamtia Mfalme Sedekia wa Yuda na wakuu wake mikononi mwa maadui wao na mikononi mwa wale wanaotaka kuwaua* na mikononi mwa majeshi ya mfalme wa Babiloni,+ ambao wanaondoka na kuacha kuwashambulia.’+