2 Wafalme 25:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha wakamkamata mfalme+ na kumpeleka mpaka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla, nao wakamhukumu. 7 Wakawachinja wana wa Sedekia huku akitazama; kisha Nebukadneza akampofusha macho Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba, na kumpeleka Babiloni.+ Maombolezo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu, mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule tuliyesema hivi kumhusu: “Tutaishi chini ya kivuli chake miongoni mwa mataifa.”
6 Kisha wakamkamata mfalme+ na kumpeleka mpaka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla, nao wakamhukumu. 7 Wakawachinja wana wa Sedekia huku akitazama; kisha Nebukadneza akampofusha macho Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba, na kumpeleka Babiloni.+
20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu, mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule tuliyesema hivi kumhusu: “Tutaishi chini ya kivuli chake miongoni mwa mataifa.”