Yeremia 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na wakiuliza, ‘Kwa nini Yehova Mungu wetu ametutendea mambo haya yote?’ mtawajibu, ‘Kama mlivyoniacha ili kumtumikia mungu wa kigeni katika nchi yenu, ndivyo mtakavyowatumikia wageni katika nchi isiyo yenu.’”+
19 Na wakiuliza, ‘Kwa nini Yehova Mungu wetu ametutendea mambo haya yote?’ mtawajibu, ‘Kama mlivyoniacha ili kumtumikia mungu wa kigeni katika nchi yenu, ndivyo mtakavyowatumikia wageni katika nchi isiyo yenu.’”+