Ezekieli 34:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Miti ya shambani itazaa matunda yake, na udongo utatoa mazao yake,+ nao wataishi kwa usalama nchini. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapozivunja nira zao+ na kuwaokoa kutoka mikononi mwa wale waliowafanya kuwa watumwa. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:27 Mnara wa Mlinzi,1/1/1993, uku. 20
27 Miti ya shambani itazaa matunda yake, na udongo utatoa mazao yake,+ nao wataishi kwa usalama nchini. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapozivunja nira zao+ na kuwaokoa kutoka mikononi mwa wale waliowafanya kuwa watumwa.