25 ili kumvunja Mwashuru katika nchi yangu+ na ili nimkanyagie chini juu ya milima yangu mwenyewe;+ na ili nira yake iondoke juu yao na ili mzigo wake uondoke juu ya bega lao.”+
8 “Na itakuwa katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitaivunja nira ya mtu kutoka shingoni mwako, na pingu zako nitazikata vipande viwili,+ na wageni hawatamtumia vibaya tena kama mtumishi.
4 Nilizidi kuwavuta kwa kamba za mtu wa udongo, kwa kamba za upendo,+ hata nikawa kwao kama wale wanaoondoa nira kwenye mfupa wa mataya yao,+ nami kwa upole nikamletea kila mmoja wao chakula.+