Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana Ashuru itaingiwa na woga kwa sababu ya sauti ya Yehova;+ yeye ataipiga kwa fimbo.+

  • Isaya 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Mwashuru ataanguka kwa upanga, si ule wa mwanadamu; na upanga, si ule wa mtu wa udongo, utamla.+ Naye atakimbia kwa sababu ya upanga, na wanaume wake vijana watafanyishwa kazi ya kulazimishwa.

  • Isaya 37:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi Senakeribu+ mfalme wa Ashuru akaondoka, akaenda, akarudi,+ akaanza kukaa katika Ninawi.+

  • Ezekieli 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+

  • Ezekieli 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Huko ndiko aliko Ashuru pamoja na kutaniko lake lote.+ Makaburi yake yanamzunguka pande zote. Hao wote wameuawa, wale wanaoanguka kwa upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki