36 Na malaika+ wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+
11 Naye atapita baharini kwa taabu;+ na ndani ya bahari atayapiga mawimbi,+ na vilindi vyote vya Nile vitakauka.+ Nacho kiburi cha Ashuru kitashushwa,+ na fimbo ya enzi+ ya Misri itaondoka.+