25 ili kumvunja Mwashuru katika nchi yangu+ na ili nimkanyagie chini juu ya milima yangu mwenyewe;+ na ili nira yake iondoke juu yao na ili mzigo wake uondoke juu ya bega lao.”+
5 Na huyu atakuwa amani.+ Lakini wakati Mwashuru atakapokuja katika nchi yetu na kukanyaga juu ya minara yetu ya makao,+ sisi pia tutasimamisha juu yake wachungaji saba, ndiyo, watawala wadogo wanane kutoka kati ya wanadamu.