Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

      Na mierezi ya Mungu kwa matawi yake.+

  • Isaya 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Umemdhihaki Yehova kupitia watumishi wako, nawe unasema,+

      ‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita, mimi mwenyewe+—

      Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+

      Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+

      Nami nitaikata mierezi yake iliyotukuka, miberoshi yake iliyo bora.+

      Nami nitaingia katika kilele chake cha mwisho, msitu wa shamba lake la matunda.+

  • Ezekieli 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki