8 Mierezi mingine haikulingana nao katika bustani ya Mungu.+ Nayo miberoshi, haikufanana nao kwa habari ya matawi yake. Na miaramoni yenyewe haikuwa kama huo katika matawi yake. Hakuna mti mwingine wowote katika bustani ya Mungu uliofanana nao katika uzuri wake.+