Ezekieli 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna mwerezi mwingine katika bustani ya Mungu+ uliofanana nao. Hakuna mberoshi uliokuwa na vitawi kama vyake, Na hakuna mwaramoni uliokuwa na matawi yaliyofanana na yake. Hakuna mti mwingine katika bustani ya Mungu uliokaribia uzuri wake.
8 Hakuna mwerezi mwingine katika bustani ya Mungu+ uliofanana nao. Hakuna mberoshi uliokuwa na vitawi kama vyake, Na hakuna mwaramoni uliokuwa na matawi yaliyofanana na yake. Hakuna mti mwingine katika bustani ya Mungu uliokaribia uzuri wake.