Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zaidi ya hilo, Yehova Mungu akapanda bustani kule Edeni,+ kuelekea mashariki; na humo akamweka huyo mtu aliyemuumba.+

  • Ezekieli 28:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mwana wa binadamu, mwimbie mfalme wa Tiro wimbo wa huzuni,* nawe umwambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      “Ulikuwa mfano wa ukamilifu,*

      Ulijaa hekima+ nawe ulikuwa na urembo mkamilifu.+

      13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu.

      Ulipambwa kwa kila jiwe lenye thamani

      —Zabarijadi, topazi, na yaspi;

      krisolito, shohamu, na yashefi; yakuti, feruzi,+ na zumaridi;

      Na vifuko na vishikizi vyake vilikuwa vya dhahabu.

      Vilitayarishwa siku uliyoumbwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki