-
Ezekieli 28:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “Mwana wa binadamu, mwimbie mfalme wa Tiro wimbo wa huzuni,* nawe umwambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
“Ulikuwa mfano wa ukamilifu,*
Ulijaa hekima+ nawe ulikuwa na urembo mkamilifu.+
13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu.
Ulipambwa kwa kila jiwe lenye thamani
—Zabarijadi, topazi, na yaspi;
krisolito, shohamu, na yashefi; yakuti, feruzi,+ na zumaridi;
Na vifuko na vishikizi vyake vilikuwa vya dhahabu.
Vilitayarishwa siku uliyoumbwa.
-