Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Yehova Mungu akapanda bustani katika Edeni,+ kuelekea mashariki, na hapo akamweka mtu ambaye alikuwa amemfanya.+

  • Mwanzo 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Loti akainua macho yake na kuona Wilaya yote ya Yordani,+ kwamba yote ilikuwa eneo lililokuwa na maji mengi kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora, kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri mpaka Soari.+

  • Zaburi 80:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

      Na mierezi ya Mungu kwa matawi yake.+

  • Ezekieli 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu.+ Kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, zabarijadi, topazi na yaspi; krisolito, shohamu+ na yashefi; yakuti, feruzi+ na zumaridi; nao ufundi wa viwekeo na wa vitundu vyako ulikuwa wa dhahabu ndani yako. Vilitayarishwa katika siku ya kuumbwa kwako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki