13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu.
Ulipambwa kwa kila jiwe lenye thamani
—Zabarijadi, topazi, na yaspi;
krisolito, shohamu, na yashefi; yakuti, feruzi,+ na zumaridi;
Na vifuko na vishikizi vyake vilikuwa vya dhahabu.
Vilitayarishwa siku uliyoumbwa.