Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova Mungu akamchukua mtu na kumweka katika bustani ya Edeni,+ ailime na kuitunza.+

  • Mwanzo 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo Yehova Mungu akamwondoa katika bustani ya Edeni+ ili aulime udongo ambao katika huo alikuwa ametolewa.+

  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Yehova hakika atamfariji Sayuni.+ Hakika atafariji mahali pake pote palipoharibiwa,+ naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+ na nchi yake tambarare ya jangwani kama bustani ya Yehova.+ Furaha na kushangilia zitapatikana ndani yake, kutoa shukrani na sauti ya muziki.+

  • Ezekieli 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu.+ Kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, zabarijadi, topazi na yaspi; krisolito, shohamu+ na yashefi; yakuti, feruzi+ na zumaridi; nao ufundi wa viwekeo na wa vitundu vyako ulikuwa wa dhahabu ndani yako. Vilitayarishwa katika siku ya kuumbwa kwako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki