Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.”

  • Mwanzo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Yehova Mungu akapanda bustani katika Edeni,+ kuelekea mashariki, na hapo akamweka mtu ambaye alikuwa amemfanya.+

  • Zaburi 115:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+

      Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki