24 Kupitia watumishi wako umemdhihaki Yehova+ ukisema,
‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita
Nitapanda vilele vya milima,+
Sehemu za mbali sana za Lebanoni.
Nitakata mierezi yake mirefu sana, miberoshi yake iliyo bora.
Nitaingia mahali pake palipo juu zaidi, misitu yake yenye miti mingi sana.