Danieli 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Wa kwanza alikuwa kama simba,+ naye alikuwa na mabawa ya tai.+ Nami nikaendelea kutazama mpaka mabawa yake yakang’olewa, naye akainuliwa juu ya dunia+ na kusimamishwa kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa mwanadamu.+
4 “Wa kwanza alikuwa kama simba,+ naye alikuwa na mabawa ya tai.+ Nami nikaendelea kutazama mpaka mabawa yake yakang’olewa, naye akainuliwa juu ya dunia+ na kusimamishwa kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa mwanadamu.+