Kumbukumbu la Torati 28:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+ Yeremia 48:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Kama tai anayerukia mawindo,+ ndivyo mtu atakavyonyoosha mabawa yake juu ya Moabu.+ Maombolezo 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+ Habakuki 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+
49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+
40 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Kama tai anayerukia mawindo,+ ndivyo mtu atakavyonyoosha mabawa yake juu ya Moabu.+
19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+