38 na amekupa mkononi mwako,+ popote pale ambapo wana wa binadamu hukaa, wanyama wa mwituni na viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, na amekufanya kuwa mtawala juu ya vyote hivyo. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.+
6 Kwa maana kuna taifa ambalo limeingia katika nchi yangu, lenye nguvu nalo halihesabiki.+ Meno yake ni meno ya simba,+ nalo lina mifupa ya mataya ya simba.