Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tazama, kikundi cha watu kitasimama kama simba,

      Na kama simba kitajiinua.+

      Hakitalala chini mpaka kile mawindo,

      Na damu ya waliouawa kitakunywa.”+

  • Waamuzi 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Samsoni akashuka pamoja na baba yake na mama yake, wakaenda Timna.+ Alipofika katika mashamba ya mizabibu ya Timna, tazama! mwana-simba mwenye manyoya shingoni akamngurumia alipokutana naye.

  • Waamuzi 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi watu wa jiji wakamwambia siku ya saba kabla hajaenda katika chumba cha ndani:+

      “Ni nini kilicho kitamu kuliko asali,

      Na ni nini kilicho na nguvu kuliko simba?”+

      Ndipo naye akawaambia:

      “Kama hamngelima na ng’ombe wangu mchanga,+

      Hamngekitegua kitendawili changu.”+

  • Isaya 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Kama simba anavyonguruma, mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ juu ya mawindo yake, wakati hesabu kamili ya wachungaji wanapokusanywa kupigana naye, na ijapokuwa sauti yao yeye haingiwi na woga na ijapokuwa kelele zao yeye hatainama; vivyo hivyo Yehova wa majeshi atashuka ili kupiga vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya kilima chake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki